Habari zenu, ni muda kidogo umepita ni majukumu ndio yamenizidi. Nina imani tupo pamoja.
Leo kuna kitu muhimu sana ningependa niwaambie au niwakumbushe. MAWASILIANO, mawasiliano ni kitu kizuri sana na muhimu katika mahusiano. Ila kuna watu nadhani hawajui au hawaelewi maana yake, namaanisha kuna wengine MMEZIDISHA!!!! Yaani utakuta kila saa kila wakati unataka kumpigia simu mpenzi wako hauangalii kuwa muda huu labda yupo kazini au kwenye kikao, wewe ni kupiga simu tuuuuu! Na asipopokea ishakuwa shida, au utume sms akichelewa kujibu ishakuwa tabu. Hivi akitumia siku nzima kuongea na wewe tu hizo kazi zitafanyika saa ngapi??
Sasa nakwambia kummiss mtu kuna raha yake, hivi ukiongea nae kwenye simu siku nzima utakuwa hata na hamu ya kumuona jioni akirudi?? Maana yote mtakuwa mshaongea kwenye simu, mkionana mtakuwa na lipi la kuongea? Kama kuna jambo la haraka sawa waweza kumpigia mara moja ukakata simu lakini sio kila dakika wewe unapiga tu simu utadhani mmetongozana jana bwana, yani kila dakika 'i love u' ' i love u too' aaarrrgh badilika!
Kama kawaida mi ndo nishalimwaga limekuuma ................ CHOMA GANZI.
🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu
ReplyDeleteNataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com