Thursday, June 19, 2014

Simu yako isiwe kero kwa mpenzi wako!

Habari zenu, ni muda kidogo umepita ni majukumu ndio yamenizidi. Nina imani tupo pamoja.

Leo kuna kitu muhimu sana ningependa niwaambie au niwakumbushe. MAWASILIANO, mawasiliano ni kitu kizuri sana na muhimu katika mahusiano. Ila kuna watu nadhani hawajui au hawaelewi maana yake, namaanisha kuna wengine MMEZIDISHA!!!! Yaani utakuta kila saa kila wakati unataka kumpigia simu mpenzi wako hauangalii kuwa muda huu labda yupo kazini au kwenye kikao, wewe ni kupiga simu tuuuuu! Na asipopokea ishakuwa shida, au utume sms akichelewa kujibu ishakuwa tabu. Hivi akitumia siku nzima kuongea na wewe tu hizo kazi zitafanyika saa ngapi??

Sasa nakwambia kummiss mtu kuna raha yake, hivi ukiongea nae kwenye simu siku nzima utakuwa hata na hamu ya kumuona jioni akirudi?? Maana yote mtakuwa mshaongea kwenye simu, mkionana mtakuwa na lipi la kuongea? Kama kuna jambo la haraka sawa waweza kumpigia mara moja ukakata simu lakini sio kila dakika wewe unapiga tu simu utadhani mmetongozana jana bwana, yani kila dakika 'i love u' ' i love u too' aaarrrgh badilika!

Kama kawaida mi ndo nishalimwaga limekuuma ................ CHOMA GANZI.

Wednesday, January 30, 2013

VIROBA HUMALIZA NGUVU ZA KIUME?Nakujuza



SWALI:
Jesca mambo vipi? nazani upopoa unatuelimisha sana t2 nimesoma page nying sana kuusu mapenzi kweli unaelimisha naomba nikuulize swali nini hasa upunguza nguvu zakiume? miambavyo navijua ni punyeto,sigara kwelikuangalia move za ngono minaona inachangia kwakiasi fulani.je pombe inahamsha isia? kweli minaona vijana weng wana kunywa viroba vya konyag na ginesi wanasema wakiingia uwanjani wanapiga ata raundi 5 kama ajanywa kitu pili kwashida je kunaukweli apo jingine unakuta umeo upona mke wako faragha ukizungusha raundi 1 basi inasinyaa kabisa ataiweje aisimami tena minakuwa vijiweni tunapiga stor nying sana na kuna dokta mmoja nirafiki angu sana anasema yeye vijana weng kila wakija wanakuja naswala ilo sijui chakula kinachangia je kama nichakula kinachangia tule chakula gani ili matatizo haya yasitokee wanawake ambao wako na familia zao wanavumilia ving mbaya na mwewe akibahatika kumkwapua ole wako wewe mwanaume utateseka utadharauliwa mpaka utaletewa haramu iviivi bila kujua mkewako kama humtoshelezi akikutana namwanaume wa nje tu akipapaswa kidogo anahema kama mbwa mwenye kiu anashindwa kujizuia dada jesca saidia hawa vijana nijibu kwenye fb alafu uta wapostia hewani ili kilamtu asome
JIBU:
Kwanza naomba nikwambie mimi sio dokta wa mambo haya ila naandika kile ambacho kipo kwenye upeo wangu na jinsi ambavyo mimi nafikiri Nikirudi kwenye swali lako:Kunywa pombe nyingi pia huchangia kwa kiasi kikubwa kupungua kwa nguvu za kiume unapokunywa viroba vingi ili upige game kwa muda mrefu huna tofauti na yule anayekunywa dawa mbalimbali au anayechoma sindano ili apige game kwa muda mrefu wote mpo sawa na madhara yake yote sawa ni pamoja na kuishiwa nguvu za kiume, Utakapokunywa viroba vingi sawa utaweza kupiga game kwa muda mrefu ila kuna mishipa ambayo ipo kwenye uume wako unakuwa unailegeza taratibu bila kujua mfano ni kama nguo inayovutika inaweza kumtosha mtu mwembamba na mnene pia ila ikivaliwa sana na mtu mnene yule mwembamba hawezi kuja kuivaa tena inakuwa imashalegea vivyo hivyo na uume. Unakuwa unaichosha ile mishipa na inalegea matokeo yake siku hujanywa viroba utapiga game kwa dakika 2 tu na hutaweza tena kuendelea.

Njia nzuri ya kuwa na nguvu za kiume za kutosha ni 
1.Kula vizuri: Haswa vyakula vya wanga huongeza nguvu za kiume especially products za mihogo(Cassava)
2.Kunywa maji mengi
3: Pata muda wa kupumzika: mwili wako unahitaji kupumzika sababu ukiwa na uchovu hata performance yako itapungua 
4.Fanya mazoezi ya viungo: Mazoezi husaidia sana kufanya mwili kuwa na nguvu na pumzi ya kutosha

NOTE: Tafadhali usimnywee demu wako viroba humkomoi yeye unajikomoa mwenyewe,ukiendelea hivyo iko siku utashindwa kusimamisha kabisaaaa mwisho wa siku utaanza kwenda kwa waganga kutafuta dawa.
Hao wanawake za watu unaowasemea tatizo kubwa la waume zao wengi ni 
1. Uchovu: wengi wanakuwa na majukumu hata muda wa kufanya mapenzi na wake zao wanakosa kwasababu kazi zimemzidi kila akirudi home kachoka hoi hajiwezi
2. Kisukari: Huu ugonjwa unasumbua wengi sana mtu mwenye kisukari kuridhisha mwanamke ni kazi sana japo kuna wengine wanajitahidi kwa hilo
3.Nyumba ndogo: Nina uhakika asilimia kubwa wana wanawake nje na ndiyo inapelekea kushindwa kumtimizia mkewe ndani, kama ujuavyo nyumba ndogo shughuli yake nzito sasa jamaa akitoka huko kakwanguliwa kila kitu hata miguu inamtetemeka unadhani atawezaje kupiga game?
4. Maelewano mabovu pia huchangia, kama ndani ya nyumba kuna maugomvi kila siku sidhani pia kama hawa watu watakuwa wanaridhishana

Kutokana na hizo sababu chache wanawake wengi sana ndani ya ndoa zao hukosa haki zao za msingi za mapenzi
Mwenye ujuzi na haya mambo au daktari yoyote unaweza pia kutusaidia na hili swala au kama kuna sehemu tunakosea tueleze.
Hapana Chezea JT
Mwambie adui yako  CHOMA GANZI, anayekuonea wivu mwambie CHOMA GANZI


Thursday, December 27, 2012

INVITATION!!

Napenda kuwaalika wote kwenye party hii, mkiwa kama fans wa hii blog kwaajili ya sherehe ya kuukaribisha mwaka, msijeniita mchoyo bure!!


                                       “IN HOUSE PARTY”  

The party will be on the night of 31st Dec at Chadibwa hostel opposite Chadibwa beach Kigamboni from 12pm till dawn!! 

Entertainments:(Free) 
.Music from the best DJ in town
.Performance from FIRST PLANET DANCERS
.Performance from KANGA MOKO NDEMBENDEMBE
.Drinks of all kinds
.Food(Nyama Choma and BBQ)
.FIREWORKS
.Red carpet

Entrace: 10,000/=tshs- u get a coupon for 3 beers and food ( should be paid in advance before 31st Dec)

Contacts: 0714 460 360 JT
              0715 484 866 Sadath

                                                  "KARIBU SANA"

Friday, December 14, 2012

Jikague kabla hujaenda kwa mkeo!

Habari zenu?? Mpo pouwa??? Hata mi niko poa kabisa.

Nadhani wengi mtakuwa mmesikia au wengine yamewakuta haya,

 1.mke kukuta lipstick kwenye shati la mumewe
2. mke kukuta condom kwenye nguo ya mumewe
3. mke kukuta kipodozi au nguo au kitu chochote kwenye gari la mumewe
4. mke kukuta picha ya mwanamke kwenye simu au laptop au kwenye bahasha za mumewe

Sasa jiulize uzembe uko wapi?? Ni mkeo ndo ana kiherehere cha kuchunguzachunguza au ni wewe ndo umejisahau au umemfanya mkeo bwege kiasi cha kuacha vitu ovyo na kutojali?

Siku zote ukiwa mwizi uwe mjanja, sikufundishi utoke nje ya ndoa wala sikufundishi umalaya la hasha ninachofanya ni kumkinga mkeo ili asiumie, we unadhani akishagundua una mwanamke nje atafurahia na kukupongeza?Unadhani atakwambia 'mume wangu hongera sana kumbe we mwanaume wa ukweli eenh? ITAMUUMA SANA tena usipoangalia ndo itakuwa MWANZO WA NDOA YAKO KUYUMBA.

Sasa basi kitu cha kufanya, endapo utakuwa umetoka kwenye nyumba ndogo yako kabla hujafika home jiangalie unalipstick kwenye nguo?? Au kwenye gari kuna kitu chochote ambacho huyo mwanamke ameacha?? Ukishaangalia ukiona hamna basi waweza kwenda home pia usisahau simu yako kuiangalia manake huwezi jua kitatokea nini mbele ya safari.

ANGALIZO: Hii sio tu kwa mwenye nyumba ndogo hata kama huna mwanamke nje pia uwe unakagua gari lako coz njiani unaweza mpa mtu lift kwa bahati mbaya akasahau au akadondosha kitu huku wewe huna habari halafu wife akakuta ikawa mtiti.

Na usiseme mkeo ndo anakiherehere wewe umeshakuwa mali yake anahaki na wewe, hawezi kukuta condom iliyobakia kwenye suruali yako halafu yeye akacheka tu.

ONYO: Wewe kimada au ndo nikuite nyumba ndogo usithubutu kuacha staffs zako kwenye gari au nguo ya huyo mwanaume ilihali unajua kabisa ni mume wa mtu hiyo ni TABIA MBAYA, nasema hivi kwa kuwa mwingine anafanya makusudi kuacha mradi kumpa taarifa mke wa jamaa ili ajue ana mke mwenza, ebu wacha uswahili JIFUNZE KULA NA KIPOFU, huwezi tafuta wako wanaume wenyewe wachache halafu unataka kuharibu kwa taarifa yako umuharibii mwenzako unajiharibia mwenyewe na nilishasema na NARUDIA TENA usidhani atamuacha mkeo kwa ajili yako bali atakuacha wewe ili kuokoa ndoa yake.


SIKUFUNDISHI UWE NA NYUMBA NDOGO ILA KAMA UNAYO TAFADHALI USIMUUMIZE MKEO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kama limekuuma we CHOMA GANZI tu!!!

Monday, December 10, 2012

SEHEMU ZENYE HISIA SANA KWA MWANAMKE

Hii post nimeitoa PASSION kwa dada mmoja anaitwa Angel, ina ukweli wake na nimeipenda sana ndo maana nimeileta hapa ili nanyi mjue.

SEHEMU ZENYE HISIA SANA KWA MWANAMKE.

Tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hili.

Yafuatayo ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume utayashughulikia ipasavyo bila shaka mtafurahia uumbaji
wake Mungu.

1. MIDOMO YAKE.
Tumia midomo yako,ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa.
Kunyonya ulimi pia huchangia
kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni.(usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu).

2. UKE NA KINEMBE.
Tumia kidole chako cha kwanza cha mkono wa kulia polepole pitisha katika mfereji wa uke ukianzia chini (kutokea kwenye k**a)
ukipandisha juu,fanya hivyo mara
kadhaa.

Kutegemea umbo lako na
urefu,unaweza kuchanganya zoezi hili na kunyonya matiti yake na hapo utaona upumuaji wake ukibadilika na majimaji yakiongezeka kwenye uke.
Kwa kawaida kinembe cha mwanamke kimejificha lakini ukifanya vizuri
zoezi la hapo juu na chenyewe kama uume kitajaa damu na kuinuka.

3. MATITI YAKE.
Matiti yake ni sehemu muhimu sana kwa
mwanamke kama ilivyo kwa uke
wake.
Utampatia raha kamili mwanamke kama
utayapapasa papasa matiti yake,utayaminyaminya kwa upole wa
kimahaba,utayalambalamba na kuyanyonya.

4. MASIKIO YAKE.
Wanawake wengi hupata burudani masikio yao yanapolambwa au kunyonywa au kupigwa busu.

5. SEHEMU YA NYUMA YA SHINGO
Tumia ulimi wako kulamba sehemu ya shingo yake kwa mwendo w kutekenya tekenya.
Tumia ncha ya ulimi kutekenya tekenya kwa kufanya mduara na kuendelea kuchora mduara na kurudiarudia.

6. SEHEMU YA NYUMA YA GOTI.
Sehemu ya nyuma ya goti ina miishio mingi ya mishipa ya fahamu na utashangaa jinsi ammbavyo mwanamke atapata burudani kwa kuishughulikia vyema sehemu hii.

7. SEHEMU YA NDANI YA MAPAJA.
Tumia ubapa wa kiganja chake kupapasa kwa ulaini sehemu ya ndani ya mapaja yake,fanya hivyo juu juu huku ukimbusu busu mapaja yake.

8. MAKALIO YAKE.
Wanawake wengi wanapenda makalio yao
yachezewe kimahaba,anza kwa kuyapapasa papasa,endelea kwa kuyaminya minya kwa kutumia vidole.

9. MIISHIO YAKE.
Miguu yake imejaa miishio ya mishipa ya
fahamu kiasi ambacho baadhi ya wanawake wanaweza kufika katika kilele cha burudani ya tendo la ndoa kwa miguu yao kusuguliwa na kupapaswa.

10. USO WAKE.
Mwanamke atafurahi sana utakaposhika uso wake katika hali ya mahaba na huku
ukitabasamu.
Wakati ukifanya hivyo unaweza
kumbusu midomo yake,mashavu na kwenye paji la uso.

11. HIPS ZAKE.
Sehemu hii ni moja ya sehemu ambazo
zitamfanya mwanamke ajisikie amekubalika kabisa iwapo utashika wakati wa tendo la ndoa.

12. G-SPOT
Sehemu hii iko ndani ya uke ambayo inapata hisia kubwa sana ikibonyezwa
bonyezwa,sehemu hii ipo sentimeta 5 kutoka mlango wa uke na iko katika ukuta wa juu wa uke.

Sehemu hii ikibonyezwa na kuchezewa
ipasavyo mwanamke anaweza akapiz mara mbili au zaidi kwa wakati mmoja.Hii ni njia rahisi ya
kumfikisha mwanamke kileleni,mwanaume aingize kidole kwenye uke na kubonyeza na
kusugua sehemu ya juu ya uke,sehemu hii imekaa kama sponji na huwa ngumu kwa kadiri inavyobonyezwa.

Mwanamke anaweza kujisikia
kama anataka kukojoa kabisa na hawezi
kukojoa ila raha atakayopata ni kubwa sana.

Maswali Sitaki mi nimefanya kucopy tu! CHOMA GANZI!

Saturday, December 8, 2012

Nyege baada ya MP!

Ni kawaida kwa msichana kujisikia hali ya nyege au niseme muwashawasha au hamu ya kufanya mapenzi mara pale tu atokapo kwenye siku zake(MP) tena wengine hadi zile siku mbili au moja ya mwisho kabla hajamaliza MP.

Bado sijapata sababu za kitaalam kwanini hali hiyo hutokea, sijajua ni kwa vile ile pad inakutekenya au ni matokeo tu ya hormones. Hapo labda nikawatafute wataalam wanijuze then niwaletee ukumbini.

Sasa lengo la kuandika hii post ni kuwajuza wanaume na kuwapa ushauri, ni hivi mkeo akimaliza tu period HAKIKISHA UNAMPA CHAKE  manake mtoto wa kike hapo atakuwa anahamu zake sasa kama ndo hausomi mchezo mwenzako ataishia tu kuchekacheka bila mpangilio. Japo kuna siku zingine za pale katikati za mwanamke kuwa hot kwelikweli ila na hii pia usiisahau.

Kwahiyo ndugu yangu pale mkeo au mpenzi amalizapo period jaribu kumpa kitu, kama uko naye mbali basi hiyo ni bahati mbaya, na hapo ndiyo penye umuhimu wa kujua mzunguko wa mwanamke wako. Si kila mwanamke anaweza kumwambia mwenza wake kwamba ana hamu japo siku hizi wengi wanajitahidi kuwa wawazi au mwingine utaona tu vitendo vyake mara akushike hapa mara akushike pale mradi tu kukuonesha kwa vitendo anachotaka kwahiyo kama mwerevu utaelewa.

Hayo ndo yangu ya leo kila nikipata muda wa kuandika nitaandika nina mengi mno!

CHOMA GANZI!!

Monday, December 3, 2012

Kupiga Picha za Utupu!

Imekuwa ni kawaida kusikia na kuona watu wakilalamika mitandaoni na kwenye magazeti baada ya picha zao za utupu/picha chafu kuvuja.

Mimi nina maswali kwenu kwanini upige picha za utupu?? Manake wengine wanajipiga wenyewe wakiwa na akili zao timamu sasa unataka kumuonesha nani huo mwili  wako?? Hujiulizi hiyo simu au camera ikiibiwa huyo atakaye ikamata unadhani hatozirusha mtandaoni? Acha kupiga picha hizo hata kama uko makini kiasi gani.

Pia kuna wale wanawake ambao wanalewa hadi kufikia hatua ya kutokujitambua yaani kazima, mwanaume wake huyohuyo anaamua kumpiga picha za utupu bila yeye kujua na mwingine wala anakuwa hajazima ila kwa kuwa pombe ziko kichwani anajikuta anafanya maamuzi ambayo si sahihi anaulizwa nikupige picha? naye bila hiyana anasaula nguo anajimanua anapigwa picha , ndugu yangu kama pombe huziwezi acha kabisa utakuja jidhalilisha.

Sasa kuna wale wenzangu na mimi waliopofuka kwenye mapenzi wasiojielewa na wasiochuja kitu gani ni sahihi kufanya pale anapokuwa na mpenzi wake. Utakuta anamahusiano na mwanaume hata miezi sita hawajamaliza mwanaume anamwambia ampige picha akiwa mtupu naye anakubali tu! Hivi unajiamini nini na huyo mwanaume?? Hujiulizi endapo mtagombana hatima ya hizo picha ni nini?! Sidhani kama mwanaume anayekupenda atakwambia upige picha za utupu, kwani atakuwa anajali utu wako na kuheshimu mwili wako.. Wengi mnadanganywa eti akikumiss awe anaangalia picha yako, HUO NI UONGO LAANIFU!! Tena kama mwanaume atakwambia hili kuwa naye makini manake ukimkatalia ipo siku atakuvizia umelala na atakupiga bila idhini yako.

Narudia tena mwanaume anayekupenda, anayekujali na kukuheshimu hakupigi picha za utupu, kwahiyo USITHUBUTU! Kama tayari ushapiga nakushauri zifute, kwani utakuwa umeshuhudia story nyingi za mastaa wetu wakilalamika kwenye magazeti kuhusu picha zao zilizovuja na wengi wao wanasema ni watu wao wa karibu ndo wamezivujisha wengine wanasema waliowaibia simu ndo wamezivujisha.. Sasa zote hizi hazikupi fundisho tu!! Kwanini akupige wewe picha za utupu? mbona yeye hapigi hayo mapumbu yake akakutumia??

Tena wengi sana mnatumia whatsapp na BBM kutumiana hizi picha sasa wewe ukituma tu anamforwadia rafiki yake anamwambia 'cheki huyu demu kanitumia hii picha' Sasa kwa style hii unadhani zitaacha kuvuja??

Kama limekukuta pole ila kama bado basi zingatia hili. Na nyie wanaume mkome kuwapiga picha mademu zenu kama unataka piga mapumbu yako yaweke kwenye wall yako.

Limekuuma CHOMA GANZI!

Mnisamehe coz nimekuwa mvivu kidogo wa kuandika, mada, zimejaa kichwani tele ila kutype ndo inakuwa mtiti!