Wednesday, October 24, 2012

Madhara ya kuangalia picha za ngono

Kuna watu wanapenda sana kuangalia sinema za ngono, siwezi kukataa mimi mwenyewe huwa naangalia mara mojamoja.

Ila kutokana na reserch yangu niliyoifanya kiholela nimegundua kwa kiasi fulani zina madhara nakuelezea kama ifuatavyo.

Kwanza inakupunguzia uwezo wako au hisia zako yani wewe utakuwa huwezi kusimamisha au kupata hamu bila ya kuangalia filamu za ngono, hata demu wako akiwa uchi lazima uwashe movie ya ngono ndo uanze shughuli

Pili, Itakufanya usifurahie tendo, manake utakuwa unatamani mpenzio kufanya kama ambavyo unaona kwenye sinema kitu ambacho muda mwingine hakiwezekani kwani hizo ni movie watu wamelipwa wafanye ni sehemu ya biashara ndo maana utakuta mikao mingine ni ngumu kuifanya yote hiyo so utakuwa uko attention kuangalia mwenzio anafanya nini au uko attention ukikumbuka na kufikiria mikao ya kwenye movie kitu ambacho kwa namna moja au nyingine hupoteza radha.

Tatu, kwa asilimia 99 huchochea punyeto, nadhani mtakuwa mnakumbuka kwenye mada iliyopita nilizungumzia madhara ya punyeto, kwa hiyo utajikuta unappata madhara yale yale ya upigaji punyeto

Nne, unapunguza uwezo wa kufikiri na kufanya kazi, jaribu kuchunguza hili ukiwa unaangalia movie ya ngono hata kama kuna kazi ipo mezani kwako au ndani unakuwa mvivu hata wa kuifanya na hata kama mtu akikupigia simu ghafla akakuuliza kitu hutaweza kumjibu papo kwa hapo lazima utamwambia subiri kwakuwa umesahau pia umeshajijengea uvivu mkubwa kupitia hiyo picha ya ngono.

Haya nimepata tu madhara hayo manne kama unayajua mengine tupia hapo kati au kwa email yangu tarimojesca@gmail.com au kwenye page yangu ya facebook jescatarimo.blogspot

Kumbuka ya kwamba hao ni waigizaji tu kama bongo movie wanavyoigiza wanachokifanya hawakifeel kabisa, so usione wanafuck huku wanapiga sarakasi nawewe ukaiga utaumia!

Adui yangu CHOMA GANZI!


Unajua utamu wa denda???Nakujuza sasa

Nitashindwa kukuelewa wewe ambaye mnaanza tu kukukuruka na mpenzio au mkeo/mumeo bila hichi kitu 'denda' au french kiss

Bwana asikwambie mtu denda lina raha yake, denda lina uwezo uwezo wa kuhamisha fikra kutoka upande mmoja hadi mwingine. Mfano mkeo/mumeo kuna kitu kimemuudhi muombe msamaha huku unamsogelea taratibu halafu ukimfikia mpe ulimi uone, yani automatically hasira zooote zinakatika naye utaona atakavyojibu mapigo na mwisho wa siku mnajikuta hata mkimaliza mchezo kabisa.

Siwezi kuficha mimi mwenyewe JT ni mbovu sana wa hiyo kitu yani nikipewa denda tu mwili wote wanilegea sasa siyo kwangu tu asilimia kubwa ya watu wote wapo hivyo hata wewe mwenyewe najua utakuwa upo hivyo.



Sasa denda linakuwa tamu zaidi kama wote midomo yenu ni misafi isiyotoa harufu, sidhani kama utaenjoy endapo mwenzako kinywa kinatema mmmmh hapo ndo utakuta wengi hawapendi kukiss wapenzi wao, sasa kwanini ukose na umkoseshe raha mwenzio kwa kitu kidogo hivyo?? Kuna wengine mna matatizo ya kunuka mdomo basi hakikisha unamuona mtaalam ndugu yangu bila hivyo utaaibika na kujua kama unanuka mdomo ni rahisi sana sogeza kiganja chako mdomoni na utoe hewa wewe mwenyewe utaisikia au nyonya kidole chako halafu nusa, harufu lazima ibaki kwenye kidole kama una huo ugonjwa nenda kwa wataalam ila vinginevyo jitahidi kupiga mswaki mara kwa mara kwa dawa maalum pia kama penda kutafuna BIG G mara kwa mara hii kidogo itasaidia kupoteza harufu. Au siku hizi kuna manukato ya mdomo pia waweza tumia

Pia kingine ambacho napenda niwaambie usije ukatoka kula samaki, dagaa au karanga halafu bila hata kusafisha mdomo ukaenda kumpa denda mpenzio nikwambie ukweli unampa kero sababu harufu ya hivyo vitu hufanya mdomo utie kichefuchefu,so safisha kwanza mdomo au tafuta hata big g halafu ndo mambo yaendelee usimpe shombo mwenzio wengine wanakinyaa eeenh?

CHOMA GANZI!
Haya hilo ndo la leo la kumoyo 'denda linautamu wake jamani' dah! haswa umpate anayelijulia mbona utadata!

Mi ndo nishalopoka likikuuma kama kawaida choma ganzi!!

Wednesday, October 17, 2012

Nampenda Mume Wa Mtu Kuliko Mpenzi wangu!

Naomba msome kwa umakini na mnisaidie kutoa ushauri kwa huyu dada, ambaye yuko njia panda

Nina bf wangu ambaye tuna mahusiano ya muda mrefu kidogo, mpenzi wangu mimi yuko busy sana kwasababu ya majukumu hivyo kuonana kwetu ni kwa nadra sana, inaweza ikapita miezi 2 nisimtie machoni hapo ni kumuona tu kwenye swala la mapenzi ndo kabisaaa inaweza pita hata miezi 3 ila shida zangu za kifedha zote ananitatulia hata kama ni kodi ya nyumba ikiisha atatuma M-Pesa,

 Sasa kinachonitatiza mimi ni kwamba hivi karibuni ametokea mume wa mtu ambaye naamini kuwa ananipenda, anatumia muda wake mwingi kuwasiliana na mimi na kuwa na mimi kwakuwa mpenzi wangu yuko busy sana yeye ndo huwa ananipa company siku zote na mbaya zaidi mapenzi yangu yamezidi kwake kuliko haya kwa bf wangu, mara zote anakuja yeye kwanza mbele ya bf wangu kwenye kichwa changu. 

Ananipa kila ninachokitaka anaridhisha kwa kila jambo na ananielewa sana, hata kama sijamwambia kitu yeye huwa anakuwa tayari ameshafikiria na kujikuta napata kile ninachokihitaji, kiukweli uwezo wake kitandani ni mkubwa unaoniridhisha sana ananipa mahaba yote na ananifikisha ipasavyo.

Naomba nieleweke kuwa sijampendea pesa huyu kaka bali mapenzi anayonipa najisikia raha sana kila nikiwa naye imefikia hatua hata siogopi tena kufumaniwa na bf wangu, na kama akipiga simu niko naye naweza hata nisipokee naona kama ananipunguzia radha. Kusema ukweli sina maneno ya kudhihirisha ninachokipata kutoka kwa huyu mume wa mtu ila kiukweli nampenda sana, na naiheshimu sana familia yake na naomba Mungu mkewe asigundue sababu itakuwa imeniharibia.

Jamani naombeni ushauri wenu nifanyeje?? Kwani kwasasa nataka niachane na bf wangu ili niwe na mume wa mtu peke yake. Nishaurini jamani niko njia panda!

Kama una ushauri weka hapo chini, au nitumie kwa tarimojesca@gmail.com au kwenye page yangu ya facebook au twitter.

Tuesday, October 16, 2012

Soma ujue madhara ya kupiga Punyeto

Punyeto(Masturbation) au wengine wanaita ‘pool’ au ‘nyeto’ ni kitendo cha wewe mwenyewe kujitelea msisimko na kuweza kujifikisha kileleni kwa njia ya kujichua.

Najua wanaume wengi mmepita happa na wengine mnao sana huu mchezo, ukiingia bafuni unapaka sabuni yako unaanza kazi, au umekaa chumbani kwako ghafla hisia zimekujia au ulikuwa unaangalia blue movies mzuka ukakushika ukajikuta unapapasa mashine mara uweke mate kidogo huku unasugua na mwingine anamafuta maalam kwaajili ya nyeto tu! Haya si mbaya maana 

Punyeto ni sehemu ya maisha ya binaadam na baadhi ya madaktari hushauri siyo tu kuongeza uzoefu katika tendo la ngono ila pia katika kuboresha afya kwa ujumla wake. Ingawaje kuzidi kwa kila jambo hata kama ni jema huwa baya, vivyo hivyo kukithiri kwa ufanyaji wa ‘nyeto’ husababisha matatizo mbalimbali kama hayo chini

ATHARI za PUNYETO
Wanaume waliowengi hukidhi haja zao kwa kutuliza matamanio yao kwa njia ya kujichua/ kupiga punyeto bila kufahamu madhara yake: Nikweli punyeto inasaidia kupunguza hamu ya tendo na ni njia nzuri ya kujiepusha na zinaa kwa kujilinda na maradhi ila kiukweli ina madhara na madhara yake mara nyingi hutokea kwa mtu anaependelea sana kupiga punyeto, kutokana na utafiti uliofanywa kisayansi imeonekana punyeto ni nzuri kiafya ila endapo kama utakuwa unapiga mara moja moja na sio kila siku. Napenda kuwashauri watu wanaopiga punyeto wawe makini na wasiendekeze jambo hili kwani madhara yake ni makubwa sana na Athari zake kubwa ni hizi zifuatazo:
1. PUNYETO INAUA NGUVU ZA KIUME:
Upigaji wa punyeto unaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, kwani kipindi unapiga punyeto jua ile mishipa inayofanya uume usimame unakuwa unaichua na uume unakuwa umesimama kwa muda mrefu sasa ikitokea ukawa unafanya hivi kila siku ile mishipa inalegea na uume unakuwa unakosa nguvu hata ukisimama haui strong unakuwa kama umelegea.

2. KUWAHI KUMALIZA MAPEMA KATIKA TENDO:
Mara nyingi mtu aliezoea kupiga punyeto huwahi kumaliza mapema pindi akiwa anafanya mapenzi na mpenzi wake na wakati mwingine uume hushindwa kusimama kwa mara ya pili na kujikuta anashindwa kurudia tendo ikiwa mpenzi wake bado hajaridhika na anahitaji kuendelea kusex.

Athari nyingine ni kama zifuatazo

3.Uchovu wakati wote / Fatigue. Feeling tired all the time.
4.Maumivu ya nyonga / Lower back pain.
5.Kusinyaa kwa Nywele / Nywele kunyonyoka / Thinning hair / Hair Loss
6.Maumivu ya kende / Groin / Testicular Pain
7.Maumivu ya kiuno / Pain / cramp in the pelvic cavity or/and tail bone

Pia kuna kitu nataka niwadokeze kidogo, hiyo hapo

Njia ya kufanya au kukusaidia upige game ndefu

Mtu anaweza kujamiiana mara mbili mpaka tatu kwa wiki katika hali ya kawaida ya tendo la ndoa. Ingawaje tendo la ndoa linaweza kufanyika mara nyingi zaidi pale ambapo mwanaume atajifunza kufikia kutika kilele cha Raha (orgasm) bila ya kutoa manii (shahawa) na kwa kufanya hivyo atajihifadhia nguvu ya kibaiolojia katika mfumo wake na kuufanya Uume kuwa wenye nguvu na kuendelea na mwendo kwa muda mrefu zaidi na mwishoni kupata mshindo wenye ujazo tosha mkubwa na ulio katika viwango vya ukweli.(Unajua maana yake yaani ukitaka kukojoa unakuwa kama unajizua au unajibana)

Utajuaje kama ushaaathirika na Punyeto??

 Ukiona unatokwa na shahawa bila hata uume kusimama jua ‘kwishney’ imekula kwako, wewe unapaswa uende ukawaone wataalam haraka sana dalili nyingine ni kama za hapo juu maumivu ya kende, kiuno, nyonga, uchove, nguvu za kiume kupotea, unacheza gemu

Ila bado hujachelewa ndugu yangu kama umeathiriwa na hili tatizo solution ipo waone madaktari watakusaidia

Acheni kupiga pool mtakuja kuumbuka jamani!!!

Hilo ndo langu la leo
Kama vipi choma ganzi! (Wanawake mjiandae naandaa yenu pia)

Tuesday, October 9, 2012

Unajua kazi ya Kisunzu?

Kisunzu ni ndevu za kwenye kidevu chini kidogo ya lips zako kama zinavyoonekana kwenye picha hapo.

Watu wengi huzifuga kwaajili ya fashion tu, ila kuna wachache wanaojua kazi zao kwa ufukunyuku wangu nimeambiwa wapemba ndo huwa wanazitumia sana, ok hayo hayatuhusu iwe kweli iwe uongo mi naenda kuwaambia jinsi zinavyotumika.

Kisunzu
Kwanza kabisa hicho kisunzu chako lazima kiwe kimechongwa vizuri sio kimekaa tu hovyo hovyo, pia ni lazima kiwe laini hivyo ni muhimu kuwa unapakaa mafuta ambayo yatafanya ndevu zako ziwe laini.

Sasa matumizi yake kwenye sita kwa sita ni hivi katika kupagawishana na mpenzio namaanisha unapokuwa unamnyonya mwezio unakitumia kisunzu chako kama unasugua kwenda juu na kurudi chini kwenye ile sehemu yetu ya utamu na kama kisunzu chako kikavu na kigumu kama msasa basi acha tu, manake utamchubua mwenzako ila kama ndo umekilainisha na mafuta ni kilaini basi huyo mwanamke lazima apagawe na nadhani atashangaa huo utundu umeutoa wapi manake si wengi wenye ujuzi huu.

Si kila siku unampa mambo yaleyale badilika, vitu vingine unaweza ukajitungia tu kichwani na ukajaribu ukajikuta unampagawisha mwenzio.

Thursday, October 4, 2012

Una nyumba ndogo??Zingatia hili

Wewe mwanaume unajua madhara ya kumpeleka nyumba ndogo sehemu ambayo unaenda na mkeo??
Nadhani bado hujanielewa namaanisha nini, sasa nakudadafulia vizuri.

Mfano wewe mwanaume kuna sehemu hupenda kujivinjari na nyumba ndogo wako inaweza kuwa baa au kwenye mgahawa, na utakuta hata wahudumu washazoea kuwaona pale. Sasa siku moja unaamua kwenda na wife pale pale na mnajiachia vizuri sana. Hapo nadhani mtakuwa mmenipata naongelea nini

Sasa kaka yangu nikwambie hilo ni kosa kubwa mno unafanya, siku zote vya kushoto viache kushoto vya kulia viache kulia kamwe usichanganye utakuja kulivuruga.

Nakwambia hivyo kwasababu mfano imetokea siku moja upo na nyumba ndogo mkeo naye katika pitapita zake akasema hii seshemu nilishakaa na mister ngoja leo nipate msosi au kinywaji hapa, anaingia mara anakukuta unadhani itatokea nini?? Na sisi wanawake tunahiyo tabia sana ya kwenda sehemu ambazo tulishaenda na mister

Pia pata picha umekaa na wife wako mara nyumba ndogo huyo kaingia, unadhani we binafsi utakuwa na amani? haya kama huyo kimada hamjui wife yako basi jua litatokea varangati ila kuna wengine wastaarab ashajua huyu ni mume wa mtu nina mipaka naye kwahiyo atakaa sehemu nyingine kimya kajikausha kama hakujui, sasa japo amekuokoa wewe na ndoa yake ila kumbuka rohoni linamuuma pia unamdhalilisha sana unadhani watu waliozoea kuwaona pale watawafikiria vipi?? usitake kuwapa watu faida pia kwanini umfanyie mwenzako hivyo?? Inakera ati kwani hakuna sehemu nyingine?

Ila sichochoe wala kukufundisha tabia mbaya ya kuwa na nyumba ndogo najaribu tu kuiokoa ndoa yako
Mi ndo nisharopoka likikuuma choma ganzi!www.jescatarimo.blogspot.com

Monday, October 1, 2012

MKE VS KIMADA

MKE VS KIMADA
Nani unae mkubali ??

MKE nikama TV,wakati KIMADA nikama
Simu yamkononi,
Ukiwa Nyumbani unaangalia TV ,
ukitoka outing Unaenda na Simu,
Huna Pesa unauza TV,ukiwa na Pesa
unabadilisha Simu ,
Mda mwingine unafuahia TV ,lakini
Mda mwingi unachezea Simu,
TV ni bure mda wote wa Maisha
kuangalia ,Simu usipo lipia
mawasiliano Hukatika,
TV nikubwa na mda mwingi huwa
Imezeeaka, lakini Simu ni
nzuri ,nyembamba na kiportable,
Uendeshaji wa TV kiuchumi ni mdogo
na unakubalika ,lakini Simu uendeshaji
ni Mkubwa na wa gharama
unaohitajika kila siku..
TV ina remote ya kuiendesha , SIMU
haina
Lamwisho na Muhimu kabisa Simu
inanjia mbili za mawasiliano unaongea
na kusikilizwa lakini kumbuka TV lazma
uwe unasikiliza tuuh (utake usitake )
Mwisho kabisa kumalizia TV hazina
Virusi, lakini SIMU Mda mwingi zina
Virusi...
Je ni Kweli au Sio Kweli ?
heheeeeee


(KOPI ENDI PESTI)