Tuesday, November 20, 2012

Mpe mumeo raha!

Hii ni kwa wanawake walio kwenye ndoa

Jamani mwanaume anapoamua kukuoa ni kwamba amekupenda na ameridhika na wewe na anakupa dhamana ya familia yake.

Sasa wewe kipindi cha mwanzo wa ndoa mapenzi motomoto baada ya muda kidogo tu basi mapenzi yote yanayeyuka hata vile vitu ulivyokuwa unafanya mwanzoni ambavyo ndo vilimpelekea yeye kukupenda huvifanyi tena, tena wengi wanakuwa na viburi na wabishi sana sasa unategemea nini? Unadhani ataacha kukesha kwenye mabaa au ataacha kutafuta nyumba ndogo? Wakati mwingine wewe mwenyewe unasababisha ndoa kuwa chungu, mpe vile vitu vyote ulivyokuwa unampa mwanzo tena ikiwezekana ongeza mahaba, Ili hata mwanaume akisema katoka nje ujue ni umalaya wake tu.

Kuna wengine yani hata ushiriki wao wa tendo la ndoa ni wa manati na wakishiriki ni kama mambwa yani mwanamke kalala mwanaume karudi zake huko kampandia juu kaingiza mashine kafanya kamaliza kaenda kuoga na mwanamke anaenda kuoga wanalala just like that! no romance! no what.... sasa raha yake hapo ni nini?? Wewe ndo wakumbadilisha mumeo kumbuka mwanaume akishaoa yeye anachofikiria ni kutafuta pesa tu vingine vyote anaamini wife yupo ndo kazi yake kusimamia.

Nadhani mmenielewa, kama vipi CHOMA GANZI

No comments:

Post a Comment