Monday, December 10, 2012

SEHEMU ZENYE HISIA SANA KWA MWANAMKE

Hii post nimeitoa PASSION kwa dada mmoja anaitwa Angel, ina ukweli wake na nimeipenda sana ndo maana nimeileta hapa ili nanyi mjue.

SEHEMU ZENYE HISIA SANA KWA MWANAMKE.

Tendo la ndoa ni sanaa hivyo inatakiwa ufundi na ubunifu ili kuweza kufurahia tendo hili.

Yafuatayo ni maeneo 12 yenye msisimko na kama mwanaume utayashughulikia ipasavyo bila shaka mtafurahia uumbaji
wake Mungu.

1. MIDOMO YAKE.
Tumia midomo yako,ulimi wako na meno yako kuchezea mdomo wake wa juu na wa chini na umbusu kwa msisimko mkubwa.
Kunyonya ulimi pia huchangia
kuongeza kasi ya mwanamke kwenda kileleni.(usafi wa kinywa kwa wote wawili ni muhimu).

2. UKE NA KINEMBE.
Tumia kidole chako cha kwanza cha mkono wa kulia polepole pitisha katika mfereji wa uke ukianzia chini (kutokea kwenye k**a)
ukipandisha juu,fanya hivyo mara
kadhaa.

Kutegemea umbo lako na
urefu,unaweza kuchanganya zoezi hili na kunyonya matiti yake na hapo utaona upumuaji wake ukibadilika na majimaji yakiongezeka kwenye uke.
Kwa kawaida kinembe cha mwanamke kimejificha lakini ukifanya vizuri
zoezi la hapo juu na chenyewe kama uume kitajaa damu na kuinuka.

3. MATITI YAKE.
Matiti yake ni sehemu muhimu sana kwa
mwanamke kama ilivyo kwa uke
wake.
Utampatia raha kamili mwanamke kama
utayapapasa papasa matiti yake,utayaminyaminya kwa upole wa
kimahaba,utayalambalamba na kuyanyonya.

4. MASIKIO YAKE.
Wanawake wengi hupata burudani masikio yao yanapolambwa au kunyonywa au kupigwa busu.

5. SEHEMU YA NYUMA YA SHINGO
Tumia ulimi wako kulamba sehemu ya shingo yake kwa mwendo w kutekenya tekenya.
Tumia ncha ya ulimi kutekenya tekenya kwa kufanya mduara na kuendelea kuchora mduara na kurudiarudia.

6. SEHEMU YA NYUMA YA GOTI.
Sehemu ya nyuma ya goti ina miishio mingi ya mishipa ya fahamu na utashangaa jinsi ammbavyo mwanamke atapata burudani kwa kuishughulikia vyema sehemu hii.

7. SEHEMU YA NDANI YA MAPAJA.
Tumia ubapa wa kiganja chake kupapasa kwa ulaini sehemu ya ndani ya mapaja yake,fanya hivyo juu juu huku ukimbusu busu mapaja yake.

8. MAKALIO YAKE.
Wanawake wengi wanapenda makalio yao
yachezewe kimahaba,anza kwa kuyapapasa papasa,endelea kwa kuyaminya minya kwa kutumia vidole.

9. MIISHIO YAKE.
Miguu yake imejaa miishio ya mishipa ya
fahamu kiasi ambacho baadhi ya wanawake wanaweza kufika katika kilele cha burudani ya tendo la ndoa kwa miguu yao kusuguliwa na kupapaswa.

10. USO WAKE.
Mwanamke atafurahi sana utakaposhika uso wake katika hali ya mahaba na huku
ukitabasamu.
Wakati ukifanya hivyo unaweza
kumbusu midomo yake,mashavu na kwenye paji la uso.

11. HIPS ZAKE.
Sehemu hii ni moja ya sehemu ambazo
zitamfanya mwanamke ajisikie amekubalika kabisa iwapo utashika wakati wa tendo la ndoa.

12. G-SPOT
Sehemu hii iko ndani ya uke ambayo inapata hisia kubwa sana ikibonyezwa
bonyezwa,sehemu hii ipo sentimeta 5 kutoka mlango wa uke na iko katika ukuta wa juu wa uke.

Sehemu hii ikibonyezwa na kuchezewa
ipasavyo mwanamke anaweza akapiz mara mbili au zaidi kwa wakati mmoja.Hii ni njia rahisi ya
kumfikisha mwanamke kileleni,mwanaume aingize kidole kwenye uke na kubonyeza na
kusugua sehemu ya juu ya uke,sehemu hii imekaa kama sponji na huwa ngumu kwa kadiri inavyobonyezwa.

Mwanamke anaweza kujisikia
kama anataka kukojoa kabisa na hawezi
kukojoa ila raha atakayopata ni kubwa sana.

Maswali Sitaki mi nimefanya kucopy tu! CHOMA GANZI!

12 comments:

  1. Choma ganzi haya bana njoo geza unipe maujanja

    ReplyDelete
  2. hizo sehemu ni sawa lkn kuna zaidi. nita kuinbox

    ReplyDelete
  3. leonard dar wewe nomaaaaa

    ReplyDelete
  4. umesahau sehemu zingine kama vile katika kwapa na nywele vilevile huwa zinaleta msisimko.

    ReplyDelete
  5. Khe! Me nimeguswa zote lakini sijasikia utamu!

    ReplyDelete
  6. mimi naona sehemu ya matako ndo mpango mzima ikipusha ulimi na kubinya binya lazim alie

    ReplyDelete
  7. Hujazungumzia kufira mkundu....
    Maana niutamu wa hali ya juu kwa mwanamke

    ReplyDelete
  8. Nzur hiyo Karibu temeke unifunze kivitendo kabisa

    ReplyDelete
  9. Hahahahahaha demu langu hapendi kuchezewa

    ReplyDelete