Wednesday, October 24, 2012

Madhara ya kuangalia picha za ngono

Kuna watu wanapenda sana kuangalia sinema za ngono, siwezi kukataa mimi mwenyewe huwa naangalia mara mojamoja.

Ila kutokana na reserch yangu niliyoifanya kiholela nimegundua kwa kiasi fulani zina madhara nakuelezea kama ifuatavyo.

Kwanza inakupunguzia uwezo wako au hisia zako yani wewe utakuwa huwezi kusimamisha au kupata hamu bila ya kuangalia filamu za ngono, hata demu wako akiwa uchi lazima uwashe movie ya ngono ndo uanze shughuli

Pili, Itakufanya usifurahie tendo, manake utakuwa unatamani mpenzio kufanya kama ambavyo unaona kwenye sinema kitu ambacho muda mwingine hakiwezekani kwani hizo ni movie watu wamelipwa wafanye ni sehemu ya biashara ndo maana utakuta mikao mingine ni ngumu kuifanya yote hiyo so utakuwa uko attention kuangalia mwenzio anafanya nini au uko attention ukikumbuka na kufikiria mikao ya kwenye movie kitu ambacho kwa namna moja au nyingine hupoteza radha.

Tatu, kwa asilimia 99 huchochea punyeto, nadhani mtakuwa mnakumbuka kwenye mada iliyopita nilizungumzia madhara ya punyeto, kwa hiyo utajikuta unappata madhara yale yale ya upigaji punyeto

Nne, unapunguza uwezo wa kufikiri na kufanya kazi, jaribu kuchunguza hili ukiwa unaangalia movie ya ngono hata kama kuna kazi ipo mezani kwako au ndani unakuwa mvivu hata wa kuifanya na hata kama mtu akikupigia simu ghafla akakuuliza kitu hutaweza kumjibu papo kwa hapo lazima utamwambia subiri kwakuwa umesahau pia umeshajijengea uvivu mkubwa kupitia hiyo picha ya ngono.

Haya nimepata tu madhara hayo manne kama unayajua mengine tupia hapo kati au kwa email yangu tarimojesca@gmail.com au kwenye page yangu ya facebook jescatarimo.blogspot

Kumbuka ya kwamba hao ni waigizaji tu kama bongo movie wanavyoigiza wanachokifanya hawakifeel kabisa, so usione wanafuck huku wanapiga sarakasi nawewe ukaiga utaumia!

Adui yangu CHOMA GANZI!


No comments:

Post a Comment