Tuesday, October 16, 2012

Soma ujue madhara ya kupiga Punyeto

Punyeto(Masturbation) au wengine wanaita ‘pool’ au ‘nyeto’ ni kitendo cha wewe mwenyewe kujitelea msisimko na kuweza kujifikisha kileleni kwa njia ya kujichua.

Najua wanaume wengi mmepita happa na wengine mnao sana huu mchezo, ukiingia bafuni unapaka sabuni yako unaanza kazi, au umekaa chumbani kwako ghafla hisia zimekujia au ulikuwa unaangalia blue movies mzuka ukakushika ukajikuta unapapasa mashine mara uweke mate kidogo huku unasugua na mwingine anamafuta maalam kwaajili ya nyeto tu! Haya si mbaya maana 

Punyeto ni sehemu ya maisha ya binaadam na baadhi ya madaktari hushauri siyo tu kuongeza uzoefu katika tendo la ngono ila pia katika kuboresha afya kwa ujumla wake. Ingawaje kuzidi kwa kila jambo hata kama ni jema huwa baya, vivyo hivyo kukithiri kwa ufanyaji wa ‘nyeto’ husababisha matatizo mbalimbali kama hayo chini

ATHARI za PUNYETO
Wanaume waliowengi hukidhi haja zao kwa kutuliza matamanio yao kwa njia ya kujichua/ kupiga punyeto bila kufahamu madhara yake: Nikweli punyeto inasaidia kupunguza hamu ya tendo na ni njia nzuri ya kujiepusha na zinaa kwa kujilinda na maradhi ila kiukweli ina madhara na madhara yake mara nyingi hutokea kwa mtu anaependelea sana kupiga punyeto, kutokana na utafiti uliofanywa kisayansi imeonekana punyeto ni nzuri kiafya ila endapo kama utakuwa unapiga mara moja moja na sio kila siku. Napenda kuwashauri watu wanaopiga punyeto wawe makini na wasiendekeze jambo hili kwani madhara yake ni makubwa sana na Athari zake kubwa ni hizi zifuatazo:
1. PUNYETO INAUA NGUVU ZA KIUME:
Upigaji wa punyeto unaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, kwani kipindi unapiga punyeto jua ile mishipa inayofanya uume usimame unakuwa unaichua na uume unakuwa umesimama kwa muda mrefu sasa ikitokea ukawa unafanya hivi kila siku ile mishipa inalegea na uume unakuwa unakosa nguvu hata ukisimama haui strong unakuwa kama umelegea.

2. KUWAHI KUMALIZA MAPEMA KATIKA TENDO:
Mara nyingi mtu aliezoea kupiga punyeto huwahi kumaliza mapema pindi akiwa anafanya mapenzi na mpenzi wake na wakati mwingine uume hushindwa kusimama kwa mara ya pili na kujikuta anashindwa kurudia tendo ikiwa mpenzi wake bado hajaridhika na anahitaji kuendelea kusex.

Athari nyingine ni kama zifuatazo

3.Uchovu wakati wote / Fatigue. Feeling tired all the time.
4.Maumivu ya nyonga / Lower back pain.
5.Kusinyaa kwa Nywele / Nywele kunyonyoka / Thinning hair / Hair Loss
6.Maumivu ya kende / Groin / Testicular Pain
7.Maumivu ya kiuno / Pain / cramp in the pelvic cavity or/and tail bone

Pia kuna kitu nataka niwadokeze kidogo, hiyo hapo

Njia ya kufanya au kukusaidia upige game ndefu

Mtu anaweza kujamiiana mara mbili mpaka tatu kwa wiki katika hali ya kawaida ya tendo la ndoa. Ingawaje tendo la ndoa linaweza kufanyika mara nyingi zaidi pale ambapo mwanaume atajifunza kufikia kutika kilele cha Raha (orgasm) bila ya kutoa manii (shahawa) na kwa kufanya hivyo atajihifadhia nguvu ya kibaiolojia katika mfumo wake na kuufanya Uume kuwa wenye nguvu na kuendelea na mwendo kwa muda mrefu zaidi na mwishoni kupata mshindo wenye ujazo tosha mkubwa na ulio katika viwango vya ukweli.(Unajua maana yake yaani ukitaka kukojoa unakuwa kama unajizua au unajibana)

Utajuaje kama ushaaathirika na Punyeto??

 Ukiona unatokwa na shahawa bila hata uume kusimama jua ‘kwishney’ imekula kwako, wewe unapaswa uende ukawaone wataalam haraka sana dalili nyingine ni kama za hapo juu maumivu ya kende, kiuno, nyonga, uchove, nguvu za kiume kupotea, unacheza gemu

Ila bado hujachelewa ndugu yangu kama umeathiriwa na hili tatizo solution ipo waone madaktari watakusaidia

Acheni kupiga pool mtakuja kuumbuka jamani!!!

Hilo ndo langu la leo
Kama vipi choma ganzi! (Wanawake mjiandae naandaa yenu pia)

13 comments:

  1. mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmh

    ReplyDelete
  2. duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh

    ReplyDelete
  3. Duuuuh!!kumbe....!

    ReplyDelete
  4. No comment there, mwenye mackio & ackie & mwenye akl .....?
    kaz kwen wapga mgalala, chaguen 1 km c mawl, kuendelea au kuacha lakn n bora kuacha.
    babu alsema 'her kinga kulko...... utamalzia mwenyw.

    ReplyDelete
  5. live.it's better to stop

    ReplyDelete
  6. kwa wote wanahitaji namna ya kujikwamua kutoka katika kuangalia picha za ngono, masturbation na kurudisha uume na nguvu za kiume katika hali hakisi ya mwanzo kwa kutumia vyakula na ushauri, tuwasiliane kupitia ushaurinasaha18@gmail.com

    ReplyDelete