Monday, October 1, 2012

MKE VS KIMADA

MKE VS KIMADA
Nani unae mkubali ??

MKE nikama TV,wakati KIMADA nikama
Simu yamkononi,
Ukiwa Nyumbani unaangalia TV ,
ukitoka outing Unaenda na Simu,
Huna Pesa unauza TV,ukiwa na Pesa
unabadilisha Simu ,
Mda mwingine unafuahia TV ,lakini
Mda mwingi unachezea Simu,
TV ni bure mda wote wa Maisha
kuangalia ,Simu usipo lipia
mawasiliano Hukatika,
TV nikubwa na mda mwingi huwa
Imezeeaka, lakini Simu ni
nzuri ,nyembamba na kiportable,
Uendeshaji wa TV kiuchumi ni mdogo
na unakubalika ,lakini Simu uendeshaji
ni Mkubwa na wa gharama
unaohitajika kila siku..
TV ina remote ya kuiendesha , SIMU
haina
Lamwisho na Muhimu kabisa Simu
inanjia mbili za mawasiliano unaongea
na kusikilizwa lakini kumbuka TV lazma
uwe unasikiliza tuuh (utake usitake )
Mwisho kabisa kumalizia TV hazina
Virusi, lakini SIMU Mda mwingi zina
Virusi...
Je ni Kweli au Sio Kweli ?
heheeeeee


(KOPI ENDI PESTI)

No comments:

Post a Comment