Tuesday, September 4, 2012

Barua ya Loveness Diva



Hii ni barua ya Diva aliyoiandika kwenye blog yake kwa fans wake ambayo imenikuna hasa ukifikiria i don't like this lady naomba muisome

BARUA YANGU YA MWEZI MZIMA TO MY FANS : SIPENDI MARAFIKI KABISA HASA WA KIKE




Nimeona niandike hii kwanza labda itasaidia sana mambo yawasichana kutaka sana urafiki na mimi.
guys me sipendi urafiki kabisa na watoto wa kike , had a friend once ilini cost sana nilipotofautiana nae na because nilimuamini sana niliumia , that was high school , then from there on sitaki sana marafiki kusema za ukweli....sio mtu wa marafiki wala mtu wa mazoea ya ovyoovyo na wala siringi but sipendi tu najua matatizo yake hasa kwa watoto wa kike!!
i always miss my high school friends, they were dope yaani compared na ambao nakutana nao hivi karibuni , na kuhusu kuchagua marafiki nachagua sana wa kiume, this is not a joke but napatana sana na soudy brown gossipcpotz ,licha ya kunishauri alot about life but ni mpole , mstaarabu sana na ana imani ya dini kama mimi , so tunapatana sana na nadiriki kusema thats my best friend , he actually knows good and bad , knows if am not ok and when am ok!! na apart from kuwa my manager but he is good hearted , my mentor pia
tunapatana sana thats why hata tulipoenda Tanga he was the only person niliempeleka home akamsalimie my aunt and it was awesome and good sana. he such a friend like i never had

 girls got issues sana ambazo to me siwezi kabisa kukaa na hizo issues zao ,wengi wanapenda umbea ,kuongea vitu visivyowahusu, kusingizia mambo ya ajabu coz me yaani nina atittude basi i have to stay away kabisa sehemu penye wasichana hasa ambao wana tabia za kike ,ambao masaa24 wanazungumzia wanaume na jinsi ya kuwachuna , wanaokaa kusema wenzao coz ikno na mimi nikitoka watanisema asa mi nikae nao wanini si bora nikae na simu yangu busy na twitter



nahisi mind za wanaume ziko active compared na wasichana wengi wa mjini
kiukweli sihitaji marafiki................nahitaji marafiki wachache tena wa kiume wataoniambia which is good , which is bad 
am Proud kujuana na soudy brown,b12,baba johny,dommy,faraja ,venture ,peter mo and the rest
feel safe around hawa my brothers 
God is good ..................kuwa my fan , be that and pliz endelea kuwa hivyo na will make u happy in my show but nje ya hapo , my life is different , very strictly and ku avoid that am always at home after work and sina rafiki celebrity wa kike sina kabisa ukweli ndo huo.
and am totally avoiding girls sio wote lakini wenye drama wachache wakike ninaojuana nao wa kike wananitosha LOL
MONTHLY LETTER TO MY FANS 
THANKU
Yours
Lovely Diva

Hayo ndo maneno Diva wa clouds kwa fans wake, HATAKI MARAFIKI WA KIKE  EEENH? SO MSIMFUATEFUATE MUACHENI NA LIFE YAKE. Kwangu mi njooni tu ukinizingua nitakuchana wala sitakuogopa Mi nahitaji marafiki nahitaji kujua wenzangu wanafanya nini na wanafikiri nini ili na mimi nifanye nini nifikiri nini, nahitaji kujua maisha ya wengine na kujifunza toka kwa wengine hivyo sitaweza kufanikisha hilo hadi niwe na marafiki! Kwani umbeya kitu gani bwana wakikusema kwakitu ambacho hujafanya unadhurika nini?? Mungu wako ndo anayekujua ndani nje.

Msinitumpie mawe jamani ni mawazo yangu tu na wala msimtupie mawe Diva ni mawazo yake na ndivyo apendavyo, so kama na wewe una yako tupia hapo chini! 

2 comments:

  1. Hahahahahahahaaaaaa ama kweli ya mjini ni shule! Hatimae mnaanza kushikana uchawi wenyewe! Kwenye dunia ya uhalisia Diva yupo sahihi sana, lakini kwa kuwa wasichana wengi wa mjini ni actresses, haina neno km utakuwa na marafiki hata 10,000 lkn hauna "real rafiki" hata mmoja! Maneno kuntu!

    ReplyDelete