Monday, September 17, 2012

Simpendi huyu!

Nadhani ni mmoja ya watu ninao wachukia tena kazidi kunikera kwa kuwa aliyemtukana ni Kiba . Naombeni msome ujinga huu wa TID


TID


"ALLY KIBA NA MAMA YAKE WANAMAMBO YA

KIJINGA SANA"......HILI NI TUSI LA TID

Baada ya kukabiliwa na scandal kubwa ya
kupanga njama za kumuua Ali Kiba, Khalid
Mohamed aka Top in Dar, amezungumza na
kusema Ali Kiba na mama yake wamekosa la kufanya na anawaona wajinga wakubwa. Akizungumza kwenye kipindi cha Tagz Weekly
cha DTV, msanii huyo amesema huenda Ali Kiba
alienda kwa mganga ambaye alimwambia TID
anataka kumuua. Msanii huyo wa ‘Nyota Yangu’ aliongeza kuwa
kutokana na kusingiziwa kitu asichokijua, kamwe
haiwezi ikatokea siku atampigia tena simu Ali Kiba
Ali Kiba(left) & TID(right)
aliyekuwa mshikaji wake wa karibu. “Siwezi naogopa,” alisema. “Naweza kumpigia simu nikaambiwa sasa ndo natamtafuta kumuua, achana naye tu mwache yeye aendelee na vitu vyake, because I felt he and his family were up to it, mama yake namuona sana, najua mama yake hanijui hajawahi kuniona hata siku moja. Ali Kiba kwa kitu gani ambacho amefanya yeye mimi nimfanyie baya? Nipo na watu kibao pale nao wamejilist eti nataka kuwaua sasa mimi hela ngapi nitatoa kuwaua watu wote wale? For what purpose watu kibao wamejilist. Am not gonna tell you what reactions I’m gonna do, I’m keeping it to myself, I aint gonna talk about it, seriously they are stupid, yaani they should come up with the best concept.” Pia Top In Dar alisema ameshakutana na Diamond
ambaye amesema hata haelewi kinachoondelea
na hana tatizo naye.
Ali Kiba

No comments:

Post a Comment