Thursday, September 20, 2012

Unapiga kelele wakati wa tendo?Soma hapa

Hili najua litakuwa linatugusa wengi!

Utamu bwana nikitu kingine asikwambie mtu, pata picha unawashwa sehemu yoyote ile kwenye mwili wako mfano mkononi halafu unakucha kidogo ndefu jinsi unavyojikuna unaonaje raha yake? Tena hapo ukute muwasho ndo umekushika balaa, dah yani kama nakuona unavyojikuna huku unafumba macho assshhhh! Unasikia raha eenh?? Haya sasa nadhani hapo mtanielewa kitu nitakachokiongelea hapa

Kila mtu anajinsi anavyoreact anapojisikia furaha, hasira, wivu, uchungu na hata utamu, sasa mimi naongelea utamu wetu uleeee! Unakunwa na mtu hadi unajihisi uko dunia nyingine unajikuta bila kutegemea unatoa kelele tena mwingine hadi kulia kabisa, mwingine yeye wala hatoi sauti atafumba zake macho tu huku anausikilizia utamu.

Sasa kama unajijua wewe ni wa kupiga kelele tena zile za sauti kubwa basi ni vizuri ukafungulia redio na kama ikiwezekana hakikisha wakati unataka mautamu nyumba haina watu haswa watoto.
Najua wengi mtasema hili haliwezekani kama haiwezekani basi wakati mnaendelea na utamu vuta shuka au mto kuwa kama unaung'ata huo mto au hilo shuka, kidogo itasaidia sauti isisikike nje. Pia kama mtakuwa katika pozi ambalo midomo yenu inaweza kukutana wakati utamu unaendelea ni vizuri mpenzio au mzinzi mwenzio akawa anakunyonya ulimi basi hapo sauti itaishilia mdomoni mwake na pia itazidi kuongeza msisimko kwake!

Ila maswala ya USWAZI chumba kimoja wewe kinachofuata mpangaji mwingine halafu huna hata kiredio au umeme ndo umekatika mnapiga gemu sauti wanazisikia wao sio vizuri unawaletea kero na mwisho wa siku mtajikuta mnapigwa chabo!

Umelipata ndugu yangu? milio kwenye sita kwa sita ina raha yake. Pale unapojisikia utamu jiachie tu!! Muache mwenzio ajue anakupagawisha kiasi gani!!!

Hilo ndo langu la leo.

Limekuuma?? Kama kawa CHOMA.......................???

2 comments: