Ni wengi sana wameshajiingiza katika mahusiano na mfanyakazi mwenzake yaani ofisi moja kwahiyo najua wengi litawagusa.
Ki ukweli kwa jinsi nilivyoona wengi waliodumu kwenye mapenzi haya hadi kufikia ndoa na ndoa zao zikadumu ni wazee wa zamani lakini si kizazi hiki cha sasa, japo wapo wachache ambayo wameweza kufikia malengo yao ila si wote.
Sasa naomba niwaelezee kwanini wengi hawajafika popote
Kwenye maofisi kama mnavyojua kuna mambo mengi sana bila kusahau utani bila kusahau maneno ya umbeya.
Sasa shida itakuja kama mmoja wenu anapenda kusikiliza maneno ya watu na pia wivu, wewe kama umekubali kufanya kazi ofisi moja na mpenzio basi punguza wivu pia usisikilize maneno ya watu, Kwasababu maneno ya pembeni huwa hayakosekani especially mpenzio awe ndo mtu wa kutaniana na watu.
Ngao yenu kubwa ni mazungumzo, kama mtakuwa huru kuzungumza chochote basi hakika mtafika mbali pia jaribu kupunguza wivu hata kama unamuona mwanaume wako anamshika mfanyakazi mwengine kiuno huku wanacheka, we assume wapo katika matani then mkifika home sasa mkae chini mzungumze vinginevyo wala hamfiki kokote kwasababu kwenye maofisi kuna changamoto nyingi sana.
Kingine epuka kuwa na mahusiano ya karibu na bosi wako ilihali mpenzio naye anafanya kazi hapo, itamfanya ajisikie vibaya kwani atakuwa anahisi moja kwamoja bosi anatumia cheo chake kukurubuni na mwisho wa siku mmoja wenu ataona kazi chungu na atajikuta hana kazi bila sababu zozote za msingi.
Asanteni sana, wala sijamlenga mtu msinirushie mawe mtoto wa mwenzenu au kama vipi CHOMA GANZI
www.jescatarimo.blogspot.com

Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu
ReplyDeleteNataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com