Saturday, September 1, 2012

Utamu wa Sikio

Sikio sikio sikio!

Sikio bwana linasisimua sana kama ukilipatia, ila linaumiza sana kama ukilikosea.

Sikio linatekenywa taratibu kwa kidole cha nne kama una vidole vinene tumia kidole kidogo cha mwisho na kama vidole vyako vyote vinene basi acha tumia tu ulimi, manake utakuta mwingine mavidole manene lakini kakazana kuingiza masikioni aaah bwana hapo unamuumiza mwenzio wala hasikii chochote!

Ulimi lazima ukunjwe kuweka angle
Kumbuka ngozi ya sikio ni laini sana sasa ukiwa unaingiza kidole chako hakikisha unaingiza taratibu bila haraka wala papara tena unakuwa kama unapapasa sio kama unasugua manake mwingine anataka akusugueee mpaka uumie.

Kingine ambacho ndo kizuri zaidi tumia ulimi wako, pia hapa nako usitake kutumbukiza liulimi lako lote lizimalizima hata kama unaulimi wa aina gani ni lazima uukunje ulimi wako utengeneze kama ncha kwa mbele halafu taratiiiiibu unaingiza kwa sikio tena unaanzia nje unazungusha ulimi wako then unaingiza ndani narudia tena taratibu kama unapapasa tu tena inaleta mvuto zaidi kama utakuwa kama unahemea kidogo ndani coz ule mvuke na joto la mdomo wako huleta msisimko ILA hakikisha humjazi mate mwenzako yani hapo mate hayahusiki kabisa so jitahidi usimpake mate mwenzio manake hilo ni sikio lazima uwe nalo makini sawa???

Umenipata?

Nawatakia week end njema!


2 comments:

  1. Nahisi itakuwa ndio week po?int yako ya maangamizi?! Nimependa somo lako, lakini nina kijiswali kiduchu, we ukifanyiwa hivyo kwa utaratibu kama ulivyoelezea hujisikiaje?!

    ReplyDelete
    Replies
    1. heheheeee wala sio weak point kwa upande wangu ninazo nyingi wala usitake kujua ila kama mwanamke niliyekamilika nami pia nina hisia so hata mimi ninasisimka vilevile.

      Delete