Hili najua litakuwa linatugusa wengi!
Utamu bwana nikitu kingine asikwambie mtu, pata picha unawashwa sehemu yoyote ile kwenye mwili wako mfano mkononi halafu unakucha kidogo ndefu jinsi unavyojikuna unaonaje raha yake? Tena hapo ukute muwasho ndo umekushika balaa, dah yani kama nakuona unavyojikuna huku unafumba macho assshhhh! Unasikia raha eenh?? Haya sasa nadhani hapo mtanielewa kitu nitakachokiongelea hapa
Kila mtu anajinsi anavyoreact anapojisikia furaha, hasira, wivu, uchungu na hata utamu, sasa mimi naongelea utamu wetu uleeee! Unakunwa na mtu hadi unajihisi uko dunia nyingine unajikuta bila kutegemea unatoa kelele tena mwingine hadi kulia kabisa, mwingine yeye wala hatoi sauti atafumba zake macho tu huku anausikilizia utamu.
Sasa kama unajijua wewe ni wa kupiga kelele tena zile za sauti kubwa basi ni vizuri ukafungulia redio na kama ikiwezekana hakikisha wakati unataka mautamu nyumba haina watu haswa watoto.
Najua wengi mtasema hili haliwezekani kama haiwezekani basi wakati mnaendelea na utamu vuta shuka au mto kuwa kama unaung'ata huo mto au hilo shuka, kidogo itasaidia sauti isisikike nje. Pia kama mtakuwa katika pozi ambalo midomo yenu inaweza kukutana wakati utamu unaendelea ni vizuri mpenzio au mzinzi mwenzio akawa anakunyonya ulimi basi hapo sauti itaishilia mdomoni mwake na pia itazidi kuongeza msisimko kwake!
Ila maswala ya USWAZI chumba kimoja wewe kinachofuata mpangaji mwingine halafu huna hata kiredio au umeme ndo umekatika mnapiga gemu sauti wanazisikia wao sio vizuri unawaletea kero na mwisho wa siku mtajikuta mnapigwa chabo!
Umelipata ndugu yangu? milio kwenye sita kwa sita ina raha yake. Pale unapojisikia utamu jiachie tu!! Muache mwenzio ajue anakupagawisha kiasi gani!!!
Hilo ndo langu la leo.
Limekuuma?? Kama kawa CHOMA.......................???

Dah, mi hapa mgeni kidogo, ngoja nisubiri majirani waje!
ReplyDeleteaaa napita tuu
ReplyDeleteUshuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu
ReplyDeleteNataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com