Thursday, July 19, 2012

Aibu gani hii

Kabla hujatoka jiangalie bana nguo gani unavaa yani nguo nyingine unajua kabisa imeisha lakini mzee umo tu dah unataka hadi iongee?? pia kama nguo haikutoshi na inakubana sana usiivae bila hivyo utaaibika kama huu shosti

3 comments: