Wednesday, July 18, 2012

Mtu mwenye lips kubwa duniani!


Christine







 Jina kamili ni Christina Rey , ana umri wa miaka 22 mwenye asili ya Russia.
Kwa mara ya kwanza amevunja rekodi kwa kuandikwa kwenye kitabu cha World's Guiness Record kwenye category ya  " THE WORLD'S LARGEST LIPS"

Add caption
Akiwa na mpenzi wake
Hapa katika harakati za kukuza tobo la sikio
sikio lake kama linavyoonekana baada ya operation
Alichoma sindano kwa mara ya kwanza ya kuongeza lips akiwa na umri wa miaka 17 tu na jumla ilimgharibu paundi 4000 ambayo kwa haraka haraka ni zaidi ya milioni nane za kitanzania lakini Christine haishii hapo bado anaendelea na majaribio kwenye mwili wake, ambapo amefanya upasuaji kuyafanya masikio yake yawe na muonekano kama ule ma'elves' tunayoona kwenye movie...pia amejitoboa sehemu mbalimbali na kuchora tatoo sehemu mbalimbali...kama nilivyosema haishii hapo anamatarajio ya kuongeza matiti yake yawe na size kubwa kabisa..
Sehemu ya kichwa ikiwa imechorwa tatoo

Hayo ndo maajabu ya dunia wewe unatafuta umaarufu kwa njia gani??

Meno yake aliyoyachonga
Ulimi ukiwa umekatwa

No comments:

Post a Comment