Thursday, July 19, 2012

Pochi ya mdada inatakiwa iwe na nini??

Naomba niwaambie kinadada  vitu muhimu vya kuweka kwenye mapochi kwa shughuli za kawaida,

Kwenye pochi yako hakikisha una pedi kipande kimoja kwaajili ya emergency pia ukiweza beba na chupi especial kama ndani utakuwa umevaa vile vichupi vyetu(bikini), kuwa na kipande cha kanga au mtandio kama utaona kanga ni nzito sana, uwe na pini ndogo hii ni kwaajili ya kushikiza shati lako kama kifungo kitakatika na kudondoka bila wewe kujua pia sindano na uzi endapo nguo itachanika au zipu ikiharibika, leso au handkerchief kwaajili ya jasho endapo utapata mzururo wa ghafla...hivi vitu ni muhimu sana kubeba utakuwa ujinga unabeba pochi kuuuuuubwa halafu hivi vitu havipo....

Pochi kutoka Qila Qi2 Fashions ukihitaji  piga  0718065194
Kwa mitoko ya jioni hivi vitu si lazima sana labda pedi tu endapo utaona haupo siku nzuri hapo najua viwallet vinahusika zikiwa zimejaa make up tu!

3 comments:

  1. hizi poch naweza pata ya wifi yako?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Unaweza kuipata Antips sema tatizo upo mbali ila unaweza kumuelekeza kwangu kama yupo tanzania, then pesa utatuma hata kwa Western money

      Delete
  2. thanx nashukuru sana bbie pia hayupo nikirudi hope nae atakuwa amerudi. nitakutafta
    asante sana

    ReplyDelete