Nikiwa katika hekaheka za kutafuta pa kupata lunch nikaona hivi
 |
| Mnaona hayo mafuta yalivyo meusii?? angalia kalai la kushoto dah! |
 |
| Wenye haya magari ndo wameenda hapo mlipoona hayo makalai juu hapo, kwenda kupata lunch! |
Nikafunga ofisi tayari kwa kurudi home
 |
| Huyu mtoto mzuri jamani muweke kwenye screen saver na wewe! |
Qila Qi2 fashions/Ivy Shop Kigamboni
 |
| Baada ya kazi nikapita Ivy shop aka Qila Qi2 fashions nikakuta pochi za ukweli |
 |
| Hii pochi ilinivutia ina rangi zilizotulia halafu unaweza kumatch na nguo ya rangi yoyote |
 |
| Walet za kike zilikuwepo za rangi mbalimbali halafu bei yake ndogo sana nitafute nikupe direction za duka |
 |
| Hii ni wallet ya kiume lol |
 |
| Kwa ndani inavyoonekana |
 |
| Jamani hii wallet imenimaliza zipo pia za njano, red, pink na green |
 |
| sasa nimefika home napiga mahesabu ya matumizi lakini hainipi kabisa dah hali ngumu |
 |
| Nilianza kujaribu viwalo nilivyobeba jana |
 |
| Hapo je?? |
 |
Hii top niliipenda sana ni nzuri kwa jumapili mchana hivi au jumamosi zipo rangi mbalimbali pale Qila qi2 fashions
|
Then nikaenda kuoga, nikala msosi dah jana dada alipika wali nazi na samaki pembeni kuna parachichi mweh nilijilambaje?? baada ya hapo nikapiga mbonji
No comments:
Post a Comment